Watoto wawili wanaoishi katika Kijiji cha mwekako Kata ya Kasenga Wilayani Chato MkoaniGeita wamefariki Dunia kufuatia na mvua kubwa iliyonyesha Kijijini hapo.
watoto hao wa mzee Kurwa mmoja anakadiriwa kuwa na miaka 13 na mdogo miaka mawili.
Diwani wa kata ya Kasenga Damian Vilarie amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo madhara mengine yaliyojitokeza ni pamoja na uharibufu wa mali na miundombinu ya barabara.
Diwani wa kata ya Kasenga wilayani hapa Damian Vilarie amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kusema mbali na vifo pia mvua imesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara.
Aidha mvua hiyo imebomoa boma la zahanati lenye vyumba 17 ambalo bado lilikua linajengwa.
Uongozi wa kata unapita kwa wananchi kuangalia madhara yaliyojitoleza na kufanya tathmini.
Makamu Rais wa TFF Michael Wambura akiwa na Viongozi wa Mkoa wa Geita pamoja na Wadau wa Soka. Viongozi wa Mkoa wakiwasili eneo Magogo Mjini Geita abapo kutajengwa...
Wilaya ya Mbogwe Yapewa Zawadi ya Gari Kwa Kufanikisha Ushindi wa Kishindo katika Kura za Urais
Baadhi ya Watu Wanadaiwa Kusambaza Taarifa Zisizo za Kweli Juu ya Kifo cha Mawazo
0 comments