Wakazi waliovamia Pori la Biharamulo Wilayani Chato wamesema pamoja na kuwepo kwa sheria inayokataza wananchi kuvamia hifadhi na kuanza shughuli za kibinadamu kama kilimo,ukataji uchomaji mkaa na ufugaji lakini hawakutendewa haki na Serikali kwa madai ya kufukuzwa katika pori hilo kwa kupigwa,kuchomewa nyumba zao na mazao kuharibiwa.
Wamedai kuwa laiti wangepewa muda wavune mazao yao na kuondoka kwa amani kuliko sasa ambapo zaidi ya kaya elfu moja hazina makazi tena ambapo kwa sasa kila familia imejihifadhi katika vichaka vilivyopo katika vjiji jirani wakiwa hawajui mustakabali wao.
Makamu Rais wa TFF Michael Wambura akiwa na Viongozi wa Mkoa wa Geita pamoja na Wadau wa Soka. Viongozi wa Mkoa wakiwasili eneo Magogo Mjini Geita abapo kutajengwa...
Wilaya ya Mbogwe Yapewa Zawadi ya Gari Kwa Kufanikisha Ushindi wa Kishindo katika Kura za Urais
Baadhi ya Watu Wanadaiwa Kusambaza Taarifa Zisizo za Kweli Juu ya Kifo cha Mawazo
0 comments